Thursday, July 29, 2010

EMINEM STAYS TOP Of US ALBUM CHART



...of coz he is nat afraid thats why yuko juu kwenye billbord!!!!.....Eminem ameshika nafasi ya juu kwenye US billboard album chart na Recovery album yake huku Rick Ross akiwa juu yake!!.Slim Shady has now held the position kwa wiki tano mfululizo his massive sixth studio LP..wiki hii Rick Ross’s Teflon Don album imeuza 11,000 copies less than Eminem’ to land at number 2.

Recovery ni number one kwenye UK album chart na piaaaaa ile ngoma yake na dada yetu Rihanna Love The Way You Lie iko juuu kwenye singles countdowns katika kila upande wa Atlantic.

The new album kutoka kwa
Sheryl Crow 100 Miles To Memphis imeanda moja kwa moja kuwa number three on the album chart.

GOOD A$$ JOB!!!!


Since Kanye West‘s MTV Awards gaffe last September when he interrupted Taylor Swift’s acceptance speech, kanye baada ya hapo akala kona..yani akatoweka..baada ya christmas mara akajitokeza katika his G.O.O.D Music artist Kid Cudi‘s show at the Nokia Theater in Los Angeles, ambapo alisema kuwa atarudi kwenye studio at the top of 2010.
..... Recently, though, it’s started looking like he’ll release his next album sooner than later.
Billboard imeripoti kuwa west sasa hivi kwenye kichwa chake cha almasi kina fanya kazi kwenye album yake mpya ambayo anatarajia kuachia karibuni na sasa anaweka zilee final touches ambapo kuna guest rappers like Q-Tip, RZA and Pete Rock.” ila websites nyingi zimesema kuwa album hiyo itaitwa Good ass job!!...
Msimamizi wa kanye amesema kuwa bado album hiyo haijajulikana itatolewa lini,jina lake wala status..ila..kama albuma hii mpya ya kanye ikitoka...utampaa support mzaziii.....????...
TUAMBIE WE UNAONAJE!!!

There Is No Competition 2: The Grieving Music EP








.....There Is No Competition 2: The Grieving Music EP is an upcoming EP by American rapper Fabolous. The EP will be released August 31, 2010.


..album hii itatolewa kupromote album yake ya sita..loso's way 2 na inatarajiwa kutoka mapema mwezi wa nane tarehe 31.licha ya hayo,album cover ya mtu mzima fabolous tayari iko mtandaoni akiwa ameshatupia zile pamba pale kati akiwa straight black..if u know what i mean!!!...ndani ya mixtape hii,mzazi amechukua ngoma sita kutoka kwenye mixtape iliyopita inayoitwa funeral service mixtape na ngoma 2 ni mpya nz zinaitwa..."lights out" and girl u be killin....