Wednesday, August 4, 2010

BRACKET KUTOKA NIGERIA





wasanii hawa najua mtakuwa munawajua kwa nyimbo zao kama vile...yori yori na no time....sasa basi najua muna hamu sana kuwaona...sio ishu...tarehe saba mwezi wa nane wanakuja bongo pale leaders club kujipangusaaaa....RRRRRRRHHHHHHAAAAAAAA!!...skiliza clouds fm..kwa maelekezo ya kiingilio....zichange mzazi!...

No comments:

Post a Comment